Skip to main content

The Pastoralists Indigenous Non Governmental Organization's Forum (PINGO's Forum)

Imechapishwa na Policy Forum

Mtandao wa Asasi Zisizo za Kiserikali za Wafugaji (PINGO’s Forum) ni mtandao wa uchechemuzi wa mashirika ya wazawa ambayo kwa sasa yapo 53 yanayojihusisha na utetezi wa haki za makundi ya pembezoni ya wafugaji na wawindaji. Mtandao wa PINGO’s ulianzishwa mwaka 1994 na Asasi sita za wafugaji na wawindaji waliokuwa katika jitihada za kufatuta haki za ardhi na maendeleo kwa ujumla.

Mojawapo ya kazi zinazofanywa na mtandao wa PINGO’s ni:

HakiMadini

Imechapishwa na Policy Forum

HakiMadini ilianza baada ya athari zilizokuwa zinajitokeza za matukio ya ukiukwaji wa Haki za Binadamu katika maeneo ya uziduaji miaka ya 1990. Hasa katika maeneo ya uchimbaji wa Tanzanite, Mererani. Shughuli za mwanzo zilihusu kutetea haki za watoa huduma ili waweze kufanya biashara katika maeneo ya migodi pamoja na kufanya kazi kwa karibu na Serikali kutatua migogoro iliyokuwepoo hasa ule wa wachimbaji wadogo na kampuni ya Tanzanite One.

Subscribe to Arusha