Israel Ilunde ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa The Youth Partnership Countrywide (YPC), Shirika la Kiraia linalofanya kazi katika kuwawezesha vijana wa kike na wa kiume katika masuala ya uraia na uchumi kupitia mafunzo katika utawala na ujasiriamali, midahalo, uhamasishaji, na uzoefu wa kazi za hiari. Bwana Ilunde kama Mtendaji Mkuu wa YPC amefanikisha na kusimamia kwa kina na kwa ujumla kubuni miradi, mipango, uhamasishaji wa rasilimali, utekelezaji, ufuatiliaji, ujifunzaji, na tathmini ya shughuli zote za YPC pamoja na kujenga ushirikiano na miradi ya pamoja.
Search
Upcoming Events
There is no upcoming events.
If you have any feedback or you would like to obtain policies related materials, please reach us through:
- P.O. BOX 38486, Dar es Salaam
- (+255) 782 317 434
- info@policyforum.or.tz