Skip to main content

Breakfast Debate

Mdahalo wa Asubuhi wa Policy Forum wa Jinsi ya Kufaidika na Gesi:Jinsi ya Kuimarisha Ushiriki wa Wananchi Tanzania

Imechapishwa na Policy Forum

Pamoja na kupatikana  na hifadhi ya gesi Tanzania , kumekuwa na majadiliano wa kutosha ya jinsi  uchimbaji wa rasilimali hii unaweza kuboreshwa ili  uweze kuwanufaisha wananchi nchini . Wadau wametoa wito kwa Serikali kuonyesha dhamira itakayoweza kuelekea kuimarisha ushiriki wa wananchi (local content) katika sekta ya madini na makampuni ya mafuta na gesi ya kimataifa kuonyesha hatua madhubuti itakazochukua juu ya hili ikiwa ni pamoja na maendeleo ya rasilimali watu .

Subscribe to Breakfast Debate