Hotuba Iliyotolewa Na Kamishna Wa Madini, Wizara Ya Nishati Na Madini, Katika Ufunguzi Wa Mkutano Wa Indaba 2016, Tarehe 26 Oktoba 2016 Kwenye Ukumbi Wa Kimataifa Wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam
Waandaaji wa Kongamano la TAEI (INDABA) 2016,
Watoa mada waliokaribishwa kutoka maeneo mbalimbali Afrika,
Makundi ya madhehebu,
Wawakilishi wa Mashirika ya vyama vya Kijamii,
Wataalamu,
Washirika wa kimaendeleo,
Wageni waalikwa,
Mabibi na mabwana,
Habari za asubuhi?