Skip to main content

Tangazo Kuhusu Mkutano Mkuu Wa Mwaka - 2010

Imechapishwa na Policy Forum

Policy Forum inapenda kuwatangazia wanachama wake kuwa mkutano mkuu wa mwaka 2010 utafanyika tarehe 12 na 13 Aprili. Mahali patakuwa ni Blue Pearl hotel in Ubungo kuanzia saa 3 asubuhi. Wanachama watatumiwa mwaliko rasmi pamoja na nyaraka zote muhimu siku saba kabla ya mkutano. Kama kawaida yetu, shughuli za mkutano mkuu zitahusisha:

Kanuni Za Uchaguzi Serikali Za Mitaa

Imechapishwa na Policy Forum

KANUNI ZA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KIJIJI, WAJUMBE WA HALMASHAURI YA KIJIJI NA MWENYEKITI WA KITONGOJI KATIKA MAMLAKA ZA MIJI ZA MWAKA, 2009 (RASIMU).

Kuuelewa Mchakato Wa Bajeti Tanzania - Mwongozo Wa Jamii Za Kiraia

Imechapishwa na Policy Forum

Bajeti kwa kawaida imekuwa ikichukuliwa kuwa ni kazi ya wataalamu, wachumi na wahasibu tu. Lakini uamuzi wa Serikali wa namna gani ya kukusanya mapato huwaathiri wananchi wote. Kiwango cha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na kodi nyingine huathiri bei za vitu vinavyotumiwa katika kaya.

TAMKO LA ASASI ZA KIRAIA JUU YA MAFANIKIO NA MADHARA KWA TANZANIA KUENDELEA KUTUMIA USHAURI WA IMF

Imechapishwa na Policy Forum

Sisi wajumbe wa Asasi za kiraia za ki-Tanzania tuliokutana leo ukumbi wa Dar es Salaam International Conference Centre, tarehe 10 Machi 2009 kwa uratibu wa mtandao wa Policy Forum, Human Development Trust na Tanzania AIDs Forum, baada ya kujadili na kutafakari kwa kina taarifa za ''mafanikio'' ya utekelezaji mipango ya IMF na sera za Tanzania ki-uchumi kwa miaka ya 2000 hadi 2008 tumebaini yafuatayo:- 1.

Warsha Ya Uwajibikaji Jamii Katika Mkoa Wa Mwanza

Imechapishwa na Policy Forum

Ikishirikiana na Mwanza Policy Initiative (MPI), wiki hii Policy Forum inaendesha warsha kuhusu Uwajibikaji Jamii (Social Accountability Monitoring – au kwa kifupi, SAM) kwa ajili ya asasi za kiraia za Mwanza.

Subscribe to Resources