Skip to main content
Richard Angelo
Meneja - Tawala Serikali za Mitaa
Contact Info
+255 782 317 434
accountability@policyforum.or.tz
Education
Shahada ya Sanaa ya Sosholojia, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania
Mafunzo ya  Ufuatiliaji wa Uwajibikaji katika Utumishi wa Umma kutoka Chuo Kikuu cha Rhodes, Afrika Kusini.

Richard Angelo ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambapo alisoma Shahada ya Sanaa katika Sosholojia na kuhitimu mnamo 2006, Hapo awali alifanya kazi HakiElimu na baadaye kama mshauri katika kitengo cha habari. Alijiunga na Policy Forum mwaka 2008 kama Msaidizi wa Programu- Vyombo vya Habari, Mawasiliano na Uchechemuzi na kwa sasa ni Meneja wa Tawaka Serikali za Mitaa. Yeye pia ni mhitimu wa mafunzo ya Ufuatiliaji wa Uwajibikaji katika Utumishi wa Umma kutoka Chuo Kikuu cha Rhodes, Afrika Kusini na pia amehudhuria pia Mafunzo ya Wakufunzi (ToT) ya SAM.

Our primary goal in training councilors is for them to ensure that LGAs become and remain accountable to their constituents and communities in an informed and inclusive way