Skip to main content
Mwemezi Makumba
Mjumbe wa Bodi
Contact Info
Education
LL.B, MA - Research & Policy

Makumba Mwemezi ni mwanasheria aliyefuzu na mtaalamu wa uchambuzi wa sera mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka kumi katika kufanya tafiti na uchambuzi wa sera mbalimbali. Ameongoza tafiti zaidi ya ishirini na tano na kuchambua sera za sekta za kijamii zaidi ya hamsini katika elimu, afya, maji, kilimo na sekta za fedha za umma. Makumba ana Shahada ya Uzamili katika Utafiti na Sera za Umma kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Stashahada ya Uzamili katika Masomo ya Sheria kutoka Shule ya Sheria ya Tanzania.