Skip to main content
Badru Juma Rajabu
Mjumbe wa Bodi
Contact Info
+255 782 317 434
badru@restlessdevelopment.or.tz
Education
Shahada ya Sanaa katika Sayansi ya Jamii, Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda

Badru Juma Rajabu ni Mratibu Mwandamizi wa Programu wa Asasi ya Restless Development.  Restless Development ni Asasi inayoongozwa na vijana ambayo imekuwa akifanya kazi nchini Tanzania tangu 1993 ikiwa na rekodi ya kuvutia katika utendaji kazi wake unaoleta athari chanya kwa umma kwa kupitia programu za maendeleo zinazosimamiwa na vijana zinazoendana na Mipango ya Taifa ya Maendeleo.

Badru amefanya kazi UN Global Compact kama kiongozi wa programu inayohusika na uendelevu, ikisaidia biashara za Kitanzania kuoanisha mikakati na utendaji na kanuni za Kiulimwengu za Haki za Binadamu, kazi, na kupambana na rushwa, na kuchukua hatua zitakozofikia malengo ya jamii.

Making policies work for people in Tanzania