Skip to main content

Ileje Environmental Conservation Association (IECA)

Imechapishwa na Policy Forum

Ileje Environmental Conservation Association (IECA), ni asasi isiyo ya kiserikali inayofanya kazi katika sekta ya mazingira iliyoundwa na jamii ya wilaya ya Ileje mkoani Mbeya kwa lengo la kuwakutanisha wanakijiji katika kuhifadhi mazingira kwa maendeleo yao endelevu. Ilianzishwa mwaka 2004 chini ya Sheria ya Jamii na ikapewa Cheti No 1255. IECA inasimamia jukumu lake la kuhakikisha usimamizi endelevu wa mazingira katika maeneo yake ya mamlaka.

Subscribe to Songwe