Skip to main content
Imechapishwa na Policy Forum

Tangu kuanzishwa kwa YPC kwa miaka mingi imefanya kazi kupanua nafasi ya kidemokrasia ya ushiriki wa vijana na ushawishi kupitia elimu ya wapiga kura, mijadala ya umma na kuhamasisha vijana kugombea nafasi mbalimbali katika chaguzi za mitaa na kitaifa. YPC hutumia njia mbalimbali kufikia wadau wake, baadhi ya njia hizo majadiliano na mafunzo.

Kazi zinazofanywa na YPC:

a. Ushiriki wa vijana katika masuala ya kisiasa, kijamii na kiuchumi

b. Kujenga jamii huru na ya kidemokrasia

c. Kuwawezesha kisiasa na kiuchumi raia wa Tanzania haswa vijana ili waweze kuleta mabadiliko chanya ya kisiasa, kijamii na kiuchumi.

-6.7842417034726, 38.9994047258