Skip to main content
Imechapishwa na Policy Forum

Katika bajeti ya mwaka 2016/2017 Serikali iliidhinisha jumla ya Shilingi Bilioni 4,770 kwa matumizi ya sekta ya Elimu zikiwa zimejumuisha matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi. Kiasi hiki ni sawa na asilimia 22.1 ya jumla ya bajeti yote ya Taifa ambayo ni Shilingi Bilioni 29,539.6. Takwimu hizi hazijumuishi deni la taifa. Kusoma zaidi bofya hapa.

hakielimuelimu.pdf (329.29 KB)