Hili ni toleo lingine la Bajeti Toleo la Wananchi ambalo linaelezea Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16 kwa lugha rahisi inayoeleweka kwa wananchi.
Bajeti ya Serikali ina maana ya makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka (ikiwa ni pamoja na fedha za ruzuku zinazopelekwa kwenye Mamlaka ya Serikali za Mitaa) ambayo huwasilishwa Bungeni ili kujadiliwa na kuidhinishwa katika mwaka wa fedha husika. Bajeti ya Serikali inakusudia kutekeleza sera na mipango ambayo Serikali imejiwekea ili kufikia malengo mapana ya kiuchumi. Bajeti haina maana ya takwimu tu, bali inatafsiri vipaumbele vya Serikali katika kutoa huduma bora kwa wananchi. Kusoma zaidi bofya hapa.
Search
Upcoming Events
There is no upcoming events.
If you have any feedback or you would like to obtain policies related materials, please reach us through:
- P.O. BOX 38486, Dar es Salaam
- (+255) 782 317 434
- info@policyforum.or.tz